39 Walimu wamoja wa Sheria wakasema: “Mwalimu, umejibu vizuri!”
Basi kukakuwa makelele mengi, na walimu wamoja wa Sheria waliokuwa wa chama cha Wafarisayo wakasimama na kubishana kwa nguvu, wakisema: “Hatuoni ubaya wowote juu ya mutu huyu. Labda roho au malaika wamesema naye!”
Yeye si Mungu wa wafu, lakini ni Mungu wa wanaokuwa wazima; maana mbele yake wote wanaishi.”
Na hakuna mutu aliyesubutu tena kumwuliza maneno mengine.