Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 20:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Na kwa mwisho, yule mwanamuke akakufa vilevile.

Gade chapit la Kopi




Luka 20:32
6 Referans Kwoze  

Maana, wanaoishi wanajua kwamba watakufa, lakini wafu hawajui kitu chochote. Hawana malipo tena. Hakuna ukumbusho juu yao, wamesahauliwa kabisa.


Kizazi kimoja kinapita na kingine kinakuja, lakini dunia inadumu milele.


Kila mutu anapaswa kufa mara moja tu, na nyuma ya kufa, anahukumiwa na Mungu.


Kisha watu wote wa kizazi chake wakakufa, kizazi kingine kikafuata ambacho hakikumujua Yawe wala matendo aliyowatendea watu wa Israeli.


Na ikakuwa vile kwa ndugu wa tatu na hata kwa wote saba. Wote wakakufa bila kuacha mutoto.


Sasa, siku wafu watakapofufuka, muke yule atakuwa wa nani, kwa maana wote saba walikuwa wamemwoa?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite