3 Yesu akawajibu: “Mimi vilevile nitawauliza ulizo hili moja. Muniambie,
Masemi yenu yanapaswa kuwa mazuri siku zote na yenye kufaa, munapaswa kujua kujibia kila mutu vizuri.
na kama ninawauliza ulizo, hamutanijibu.
“Utuambie ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya, na ni nani aliyekupa mamlaka yale?”
Yoane alipata mamlaka ya kubatiza kutoka kwa nani? Kwa Mungu au kwa watu?”