Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 20:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Mwenye shamba akatuma tena kwao mutumishi wa tatu, yule naye wakamwumiza na kumutupa inje ya shamba.

Gade chapit la Kopi




Luka 20:12
3 Referans Kwoze  

Mwenye shamba akatuma tena kwao mutumishi mwingine, lakini wakamupiga vilevile na kumutukana. Kisha wakamurudisha mikono mitupu.


Halafu yule mwenye shamba akasema: ‘Nitafanya nini? Nitamutuma mwana wangu mupendwa; labda watamuheshimu.’


Kisha akamwuliza mwingine: ‘Na wewe uko na deni yapata gani?’ Naye akajibu: ‘Saki mia moja za ngano.’ Yule mulinzi akamwambia: ‘Kamata barua yako ya mapatano na uandike saki makumi nane.’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite