Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 20:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Mwenye shamba akatuma tena kwao mutumishi mwingine, lakini wakamupiga vilevile na kumutukana. Kisha wakamurudisha mikono mitupu.

Gade chapit la Kopi




Luka 20:11
8 Referans Kwoze  

Kama vile munavyojua, mbele ya kufika kwenu tuliteswa na kutukaniwa kwanza katika muji Filipi. Lakini ingawa tulipata vizuizo vingi, Mungu alitupatia uhodari wa kuwapasha ninyi Habari yake Njema.


Ni nani kati ya manabii ambaye babu zenu walikosa kumutesa? Waliwaua wale waliotabiri zamani habari za kuja kwa Mwenye Haki. Na sasa mumemutoa na kumwua.


Waisraeli walikuwa kama muzabibu muzuri, muzabibu wenye kuzaa matunda. Kadiri matunda yalivyozidi kuongezeka, ndivyo walivyozidi kujijengea mazabahu. Kadiri inchi yao ilivyozidi kustawi, ndivyo walivyozidi kupamba nguzo zao za ibada.


Mwenye shamba akatuma tena kwao mutumishi mwingine. Yule naye, wakamwumiza kwenye kichwa na kumutukana.


Siku za mavuno zilipotimia, akamutuma mutumishi wake mumoja kwa wale walimaji kusudi wamupatie sehemu yake ya mavuno. Lakini wale walimaji wakamupiga na kumurudisha mikono mitupu.


Mwenye shamba akatuma tena kwao mutumishi wa tatu, yule naye wakamwumiza na kumutupa inje ya shamba.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite