Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 2:50 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

50 Lakini hawakufahamu neno lile alilowaambia.

Gade chapit la Kopi




Luka 2:50
3 Referans Kwoze  

Wanafunzi wake hawakufahamu maana ya maneno hayo, kwa sababu yalikuwa yamefichwa kwao, nao hawakutambua kama Yesu alisema juu ya nini.


Lakini wao hawakufahamu maana ya maneno hayo, kwa sababu yalikuwa yamefichwa kwao, kusudi wasipate kuyatambua. Nao waliogopa kumwuliza maana yake.


Lakini wanafunzi hawakufahamu maana ya mafundisho hayo. Wakaogopa kumwuliza neno.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite