Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 2:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

33 Wazazi wa Yesu wakashangaa kusikia maneno yale Simeoni aliyosema juu ya mutoto.

Gade chapit la Kopi




Luka 2:33
8 Referans Kwoze  

Wazazi wake walipomwona, wakashangaa sana. Mama yake akamwuliza: “Mutoto wangu, kwa nini umetufanyia kama hivi? Mimi na baba yako tulikutafuta tukiwa na wasiwasi.”


Mimi pamoja na watoto Yawe alionipa ni kitambulisho na mufano katika Israeli kwa jina la Yawe wa majeshi anayekaa kwenye mulima Sayuni.


Yesu aliposikia maneno haya, akashangaa na kuwaambia watu waliomufuata: “Kweli ninawaambia: katika inchi yote ya Israeli, sijaona bado mutu anayekuwa na imani kubwa kama huyu.


Yesu alipokuwa hajamaliza kusema na lile kundi la watu, mama yake na wandugu zake wakafika. Walisimama inje wakitaka kusemezana naye.


Na watu wote wakashangaa sana kwa kuona uwezo mukubwa wa Mungu. Nao wote walipokuwa wakishangaa juu ya mambo hayo yote Yesu aliyofanya, yeye akawaambia wanafunzi wake:


Basi watu wale hawakuweza kumunasa katika neno lolote mbele ya watu, lakini wakashangaa na jibu lake, nao wakanyamaza.


Na wote waliosikia habari ile waliyoieleza wakashangaa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite