Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 2:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Watu wote walienda kujiandikisha, kila mumoja katika muji wake wa kuzaliwa.

Gade chapit la Kopi




Luka 2:3
5 Referans Kwoze  

Katika siku zile, Augusto, mufalme wa Roma akatoa amri kwamba wafanye hesabu ya watu wa utawala wake wote.


Hesabu hii ya kwanza ilifanyika katika siku Kurenio alipokuwa liwali wa jimbo la Suria.


Basi Yosefu naye vilevile akaondoka katika muji Nazareti, wa jimbo la Galilaya, na kwenda Yudea katika muji wa kuzaliwa wa mufalme Daudi, unaoitwa Betelehemu. Alienda kule kwa sababu alikuwa mutu wa ukoo wa Daudi.


Alienda kujiandikisha kule pamoja na muchumba wake Maria ambaye alikuwa mimba.


Efuroni mwenyewe alikuwa kati ya Wahiti hao waliokuwa wamekutanika kwenye mulango wa muji. Basi, Efuroni Muhiti, akamujibu Abrahamu mbele ya Wahiti wote pale kwenye mulango:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite