Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 2:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Simeoni akamupokea katika mikono, akamushukuru Mungu, akisema:

Gade chapit la Kopi




Luka 2:28
13 Referans Kwoze  

Na pale pale ulimi wa Zakaria ukafunguka, akaanza tena kusema, akasifu Mungu.


Kisha wachungaji wakarudia wakitukuza Mungu na kumusifu kwa ajili ya mambo yote waliyoyasikia na kuyaona, kwa maana yote yalifanyika sawa vile malaika alivyokuwa amewaambia.


“Asifiwe Bwana, Mungu wa Waisraeli, maana amewasaidia watu wake na kuwakomboa.


Halafu Maria akasema: “Moyo wangu unamutukuza Bwana,


Kisha akawakumbatia watoto wale, akaweka mikono juu yao na kuwabariki.


Kisha akatwaa mutoto mudogo, akamuweka mbele yao na kumukumbatia. Naye akawaambia:


Mufurahi na kushangilia kwa sababu ya Yawe, enyi watu wa haki; mupige vigelegele vya shangwe, enyi wenye moyo wa usawa.


Habari hiyo ikawafurahisha Waisraeli, wakamushukuru Yawe na kuacha mipango yao ya vita na kusudi lao la kuharibu kabisa inchi iliyokuwa ya makabila ya Rubeni na Gadi.


Na ilimutokea Simeoni kuingia ndani ya hekalu, akiongozwa na Roho. Wazazi walipomuleta mutoto wao Yesu kusudi wamutendee sawa ilivyoagizwa na Sheria,


“Sasa, Ee Bwana, umuruhusu mutumishi wako akufe katika amani, maana umetimiza ahadi yako.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite