Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 2:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Siku zilipotimia za Maria na Yosefu kutakaswa kama vile Sheria ya Musa inavyoagiza, wakamupeleka mutoto Yerusalema, kusudi wapate kumutolea kwa Bwana.

Gade chapit la Kopi




Luka 2:22
4 Referans Kwoze  

Lakini mara hii Hana hakuenda, maana alimwambia mume wake hivi: “Mara tu mutoto atakapoachishwa kunyonya, nitamupeleka kusudi awekwe mbele ya Yawe, abakie kule siku zote.”


Walipokwisha kuchinja yule ngombe dume, walimupeleka mutoto kwa kuhani Eli.


Na ilimutokea Simeoni kuingia ndani ya hekalu, akiongozwa na Roho. Wazazi walipomuleta mutoto wao Yesu kusudi wamutendee sawa ilivyoagizwa na Sheria,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite