Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 2:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Ilipotimia siku ya kumutahiri mutoto, ndiyo siku ya nane tangu alipozaliwa, wakamupa jina lake Yesu. Jina hili ni lile malaika alilojulisha mbele mama yake hajabeba mimba.

Gade chapit la Kopi




Luka 2:21
9 Referans Kwoze  

Mutoto huyo atatahiriwa katika siku yake ya nane.


Ilipotimia siku nane tangu mutoto alipozaliwa, wakaenda kumutahiri, nao wakataka kumupa jina la baba yake Zakaria.


Utapata mimba, utazaa mutoto mwanaume, na utamwita jina lake Yesu.


Kila mutoto mwanaume kati yenu anapaswa kutahiriwa kwa umri wa siku nane. Vilevile watumwa waliozaliwa katika nyumba yenu au walionunuliwa kwa feza zenu kutoka kwa wageni wasiokuwa wa uzao wenu. Hiki ni kitambulisho cha agano langu katika miili yenu, agano la milele.


Alijinyenyekeza na kutii mpaka kufa, ndiko kufa kwake juu ya musalaba.


Lakini Yesu akamujibu: “Ukubali kufanya hivi sasa. Kwa maana ni kwa njia hii tutatimiza mambo yote yanayokuwa ya haki mbele ya Mungu.” Basi Yoane akakubali.


Lakini hakulala naye mpaka alipozaa yule mutoto mwanaume. Yosefu akamwita jina lake Yesu.


Yeye atazaa mutoto mwanaume, nawe utamwita jina lake Yesu, kwa maana ndiye atakayewaokoa watu wake toka katika zambi zao.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite