Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 2:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Hesabu hii ya kwanza ilifanyika katika siku Kurenio alipokuwa liwali wa jimbo la Suria.

Gade chapit la Kopi




Luka 2:2
9 Referans Kwoze  

Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Tiberio mufalme wa Roma, Pontio Pilato alikuwa liwali wa jimbo la Yudea, na Herode alikuwa mutawala wa jimbo la Galilaya na ndugu yake Filipo alikuwa mutawala wa inchi ya Iturea na ya Tarakoniti. Vilevile Lisania alikuwa mutawala wa inchi ya Abilene,


Halafu mufalme, liwali, Berenike na wote wengine walioikaa pamoja nao wakasimama.


“Mimi Klaudio Lusia, ninakuandikia wewe muheshimiwa Liwali Feliki, pokea salamu zangu.


Katika nyakati Galio alipokuwa liwali wa jimbo la Akaya, Wayuda wakamufanyia Paulo shauri baya kwa nia moja, wakamukamata na kumupeleka mbele ya tribinali,


Huyo alitumika pamoja na liwali mumoja mwenye akili, aliyeitwa Sergio Paulo. Liwali huyo akawaita Barnaba na Saulo wafike kwake kwa sababu alitaka kusikia Neno la Mungu.


Nyuma yake, katika siku zile walipofanya hesabu ya watu, kulitokea Yuda wa jimbo la Galilaya. Huyo naye aliwavuta watu wengine kwa kumufuata. Lakini yeye vilevile aliuawa na wanafunzi wake wote wakasambazwa.


Habari zake zikavuma katika inchi yote ya Suria. Wakamuletea watu wote walioteswa na magonjwa mbalimbali na wenye maumivu ya kila namna, wenye pepo, wenye kifafa na wenye kupooza, naye Yesu akawaponyesha.


Katika siku zile, Augusto, mufalme wa Roma akatoa amri kwamba wafanye hesabu ya watu wa utawala wake wote.


Watu wote walienda kujiandikisha, kila mumoja katika muji wake wa kuzaliwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite