Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 2:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Na wote waliosikia habari ile waliyoieleza wakashangaa.

Gade chapit la Kopi




Luka 2:18
8 Referans Kwoze  

Watu wote wakashangaa sana na kusemezana: “Hatujaona mambo kama haya! Mutu huyu anawaamuru pepo kwa mamlaka na uwezo wake, nao wanatoka!”


Na wote waliomusikia walishangaa kuona akili yake na majibu yake.


Wazazi wa Yesu wakashangaa kusikia maneno yale Simeoni aliyosema juu ya mutoto.


Mimi pamoja na watoto Yawe alionipa ni kitambulisho na mufano katika Israeli kwa jina la Yawe wa majeshi anayekaa kwenye mulima Sayuni.


Nao walipokwisha kumwona mutoto huyo muchanga, wakaeleza maneno waliyoambiwa na malaika juu yake.


Lakini Maria akachunga mambo hayo yote ndani ya moyo na kuyafikiri sana.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite