Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 2:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Nao walipokwisha kumwona mutoto huyo muchanga, wakaeleza maneno waliyoambiwa na malaika juu yake.

Gade chapit la Kopi




Luka 2:17
10 Referans Kwoze  

“Rudia kwako na ueleze mambo yote Mungu aliyokutendea.” Basi yule mutu akajiendea, na kutangaza fasi zote katika muji wake mambo Yesu aliyomutendea.


Enyi munaomwabudu Mungu, mukuje wote musikilize, nami nitawaelezea mambo aliyonitendea.


Basi, akafika saa ile ile, akaanza kumushukuru Mungu. Naye akaeleza habari za mutoto huyo kwa watu wote waliokuwa wakingojea jinsi Mungu atakavyokomboa Yerusalema.


Halafu watu wanaomutii Yawe walizungumuza wao kwa wao, naye Yawe akasikia mazungumuzo yao. Mbele yake kukawekwa kitabu ambamo uliandikwa ukumbusho wa wale wanaomutii na kumuheshimu.


Halafu wakaenda kwa haraka, wakawakuta Maria, Yosefu na mutoto amelalishwa katika sanduku ya kukulishia nyama.


Na wote waliosikia habari ile waliyoieleza wakashangaa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite