Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 2:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Wale wamalaika walipoondoka na kurudia mbinguni, wachungaji wakasemezana: “Basi tuende Betelehemu, kusudi tupate kuona jambo lile lililotokea, ambalo Bwana alitujulisha.”

Gade chapit la Kopi




Luka 2:15
12 Referans Kwoze  

aliyepanda mbinguni, na anayekaa na mamlaka kwa kuume kwa Mungu, akitawala wamalaika, nao wenye mamlaka na uwezo wanaokuwa katika mbingu.


Matendo ya Yawe ni makubwa sana! Wote wanaoyafurahia wanayachunguza.


Alipokuwa akiwabariki akajitenga nao na kunyanyuliwa mbinguni.


Walipokuwa wanatembea na kuongea, kwa rafla gari la moto lililokokotwa na farasi wa moto likawatenganisha. Naye Elia akanyanyuliwa mbinguni katika upepo wa kuzungukazunguka.


Wakati ulifika ambapo Yawe alitaka kumupandisha Elia mbinguni katika upepo wa kuzungukazunguka. Elia na Elisha walikuwa katika njia, wakitoka Gilgali.


Basi, akajisemesha: “Sasa nitazunguka nipate kuona jambo hili la ajabu, kichaka kuwaka moto na kisiungue!”


Vilevile kwa Siku ya hukumu malkia toka kusini atasimama na watu wa kizazi hiki na kuwashitaki, kwa sababu yeye alitoka mbali sana kuja kusikia maneno ya hekima ya mufalme Solomono. Hapa kuna yule anayekuwa mukubwa kumupita Solomono!


“Sifa kwa Mungu juu mbinguni, na amani katika dunia kwa watu anaowapenda.”


Halafu wakaenda kwa haraka, wakawakuta Maria, Yosefu na mutoto amelalishwa katika sanduku ya kukulishia nyama.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite