Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 19:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Yesu alipofika kwenye nafasi ile akainua macho na kumwambia: “Zakayo, shuka mbio; kwa maana imenipasa kupanga ndani ya nyumba yako leo.”

Gade chapit la Kopi




Luka 19:5
17 Referans Kwoze  

Sikiliza, ninasimama kwenye mulango na ninapiga hodi. Kama mutu akisikia sauti yangu na kunifungulia, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye atakula pamoja nami.


Yesu akamujibu: “Anayenipenda, atashika maneno yangu. Baba yangu atamupenda, naye Baba pamoja nami tutaingia ndani yake na kukaa ndani yake.


Musisahau kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivi wamoja wamewakaribisha wamalaika pasipo kujua.


Natanaeli akamwuliza: “Unanijua namna gani?” Yesu akamujibu: “Filipo alipokuwa hajakuita, nilikuona wakati ulipokuwa chini ya muti wa matunda ya tini.”


Hivi Kristo apate kukaa ndani ya mioyo yenu kwa njia ya imani, nanyi mupate kuwa na mizizi na musingi katika upendo.


Kwa maana Mwana wa Mutu alikuja kutafuta na kuokoa yule aliyepotea.”


Mimi nilipopita karibu nawe, nikakuona ukigaagaa katika damu yako, nikakuambia:


Kila kitu unachotaka kufanya ukifanye kwa nguvu zako zote, maana, hakuna kazi, wala wazo, wala maarifa, wala hekima kule katika kuzimu unakokwenda.


Basi, sisi tunaotumika pamoja na Mungu, tunawasihi musipoteze bure neema muliyopokea kwake.


Kule kulikuwa mutu mumoja jina lake Zakayo aliyekuwa mukubwa wa walipishaji wa kodi, naye alikuwa tajiri.


Halafu akatangulia mbio na kupanda juu ya muti wa mukuyu apate kumwona Yesu, kwa sababu Yesu alipaswa kupitia kwenye njia ile.


Zakayo akashuka mbio na kumukaribisha kwa furaha.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite