Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 19:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 Yesu alipokaribia muji wa Yerusalema, na alipouona, akaulilia,

Gade chapit la Kopi




Luka 19:41
14 Referans Kwoze  

Yesu akatoa machozi.


Sikukukaza kutenda mabaya, wala sikutamani ile siku ya hasara ifike. Wewe mwenyewe unajua maneno niliyosema mbele yako.


Ninapowaona waasi hao ninachukizwa sana, kwa sababu hawashiki amri zako.


Macho yangu yanatiririka machozi kama muto, kwa sababu watu hawaishiki sheria yako.


Na kama musiponisikiliza, moyo wangu utalia machozi kwenye uficho, kwa sababu ya kiburi chenu. Nitalia kwa uchungu na kutoa machozi, maana watu wa Yawe wanapelekwa katika uhamisho.


Heri ningepata kibanda cha wasafiri katika jangwa, ningewaacha watu wangu na kujiendea. Wote ni wazinzi, ni kundi la watu waasi.


Ninashikwa na hasira kali, ninapoona waovu wakivunja sheria yako.


Ewe Efuraimu, ninaweza kukuacha namna gani? Ninaweza kukutupilia, ewe Israeli namna gani? Nitaweza namna gani kukufanya kama muji wa Adama? Nitaweza namna gani kukutendea kama Zeboimu! Ninazuizwa na moyo wangu; huruma yangu imezidi kuwa motomoto.


Halafu Elisha akamukazia macho hata Hazaeli akashikwa na wasiwasi. Kwa rafla, Elisha mutu wa Mungu akaanza kulia.


Ndiyo maana ninawaambia ninyi: musijali chochote juu yangu, muniache nilie machozi ya uchungu. Musijisumbue kunifariji kwa ajili ya kuangamizwa kwa watu wangu.


Maana Yawe atasimama kama kule kwenye mulima Perasimu; atawaka hasira kama kule katika bonde la Gebeoni. Atatimiza mupango wake wa ajabu; atatenda kazi yake ya ajabu sana.


akisema: “Kama wewe vilevile ungejua leo hii kitu kinachoweza kukuletea amani! Lakini sasa kitu hicho kimefichwa, nawe hauwezi kukiona!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite