Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 19:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

39 Kwa hiyo, wamoja kati ya Wafarisayo waliokuwa katika kundi la watu wakamwambia Yesu: “Mwalimu, uwakaripie wanafunzi wako!”

Gade chapit la Kopi




Luka 19:39
10 Referans Kwoze  

“Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munawafungia watu wengine njia ya kuingia katika Ufalme wa mbinguni. Ninyi wenyewe hamwingii mule na zaidi ya hii munawazuiza wale wanaotaka kuingia. [


Musizani kwamba ni kwa bure Maandiko Matakatifu yanasema: “Mungu anasikia wivu sana kwa ajili ya yule Roho aliyemuweka akae ndani yetu.”


Basi Wafarisayo wakasemezana hivi: “Hamwoni kwamba hatuwezi kufanya kitu? Angalia, dunia nzima inamufuata!”


Basi wakubwa wa makuhani wakakata shauri la kumwua Lazaro vilevile,


Ee Yawe umeinua mukono kwa kuwaazibu, lakini hawauoni. Uwaonyeshe namna unavyowapenda watu wako nao watapata haya. Moto unaowatayarishia waadui zako, uwateketeze!


Basi Herode akawaita kwa siri wale wenye elimu kusudi wamujulishe hakika wakati gani nyota ile ilipotokea.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite