35 Wakamuletea Yesu yule mwana-punda, wakatandika nguo zao juu yake na kumupandisha Yesu juu yake.
Yesu akapata mwana-punda na kupanda juu yake, kama vile inavyosemwa katika Maandiko haya Matakatifu:
Wakaleta punda pamoja na mwana-punda, wakatandika nguo juu yao na Yesu akaikaa juu ya nguo zile.
Mara moja wakubwa wenzake wakavua nguo zao, wakazilundika pamoja kwenye ngazi kusudi asimame juu yake, wakapiga baragumu na kulalamika kwa sauti: “Yehu ni mufalme!”
Mambo hayo yote yalitokea, kusudi yatimie maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii:
Wakajibu: “Bwana yuko na lazima ya kumutumia.”
Alipokuwa akiendelea, watu walitandika nguo zao katika njia.
Kesho yake lile kundi kubwa la watu waliofika kwa sikukuu ya Pasaka wakasikia kwamba Yesu alikuwa katika njia kuja Yerusalema.