Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 19:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 Wakajibu: “Bwana yuko na lazima ya kumutumia.”

Gade chapit la Kopi




Luka 19:34
6 Referans Kwoze  

Mushangilie sana enyi watu wa Sayuni! Mupige vigelegele, enyi watu wa Yerusalema! Angalia, mufalme wenu anawakujia, anakuja kwa shangwe na ushindi! Ni mupole, amepanda juu ya punda, juu ya mwana-punda, mutoto wa punda.


Wanafunzi wake hawakuelewa maneno haya kwanza, lakini wakati Yesu alipokwisha kutukuzwa, wakakumbuka kwamba maneno haya yameandikwa juu yake na ni vile walivyomutendea.


Maandiko Matakatifu hayawezi kuvunjwa. Mungu aliwaita ‘miungu’ wale walioambiwa neno lake.


Kwa maana munajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, ingawa alikuwa tajiri, yeye mwenyewe alijifanya masikini kwa ajili yenu, kusudi mupate kuwa watajiri kwa njia ya umasikini wake.


Walipokuwa wakimufungua, wenyeji wa mwana-punda yule wakawauliza: “Kwa nini munamufungua mwana-punda huyu?”


Wakamuletea Yesu yule mwana-punda, wakatandika nguo zao juu yake na kumupandisha Yesu juu yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite