Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 19:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Halafu akawaambia wale waliokuwa pale: ‘Mumunyanganye ile furushi moja na kuitoa kwa yule anayekuwa na furushi kumi.’

Gade chapit la Kopi




Luka 19:24
5 Referans Kwoze  

Halafu bwana wake akamwita na kumwambia: ‘Ni habari gani ile waliyonielezea juu yako? Ninakuomba unifanyie hesabu yote ya mali yangu, kwa sababu hauwezi tena kuwa mulinzi wa mali yangu.’


Lakini Mungu akamwambia: ‘Mupumbafu wewe! Leo leo usiku utakufa. Na sasa, vitu hivi vyote ulivyojitayarishia vitakuwa vya nani?’ ”


Mbele ya kuondoka kwake akawaita watu kumi kati ya watumishi wake, akamupatia kila mumoja furushi moja ya zahabu na kuwaambia: ‘Mufanye nazo uchuuzi mpaka nitakaporudia.’


Kwa nini basi haukuweka feza yangu katika banki, kusudi siku ya kurudia kwangu ningepata mali yangu pamoja na faida yake?’


Wakamwambia: ‘Bwana, amekwisha kuwa na furushi kumi!’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite