Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 19:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Yule bwana akamujibu: ‘Wewe mutumishi mubaya! Nitakuhukumu kufuatana na maneno yako. Ulijua kama mimi ni mutu mugumu, ninayetafutia nafasi nisipowekea na kuvuna nafasi nisipopanda.

Gade chapit la Kopi




Luka 19:22
8 Referans Kwoze  

Daudi akasema: “Ubebe wewe mwenyewe lazima ya kifo chako, maana umejishuhudia wewe mwenyewe kwa kinywa chako mwenyewe ukisema: ‘Nimemwua muchaguliwa wa Yawe.’ ”


Akamwuliza: ‘Rafiki, namna gani umeingia hapa bila kuvaa nguo ya karamu?’ Lakini yule mutu hakumujibu neno.


Kwa maana kila mutu atapata sheria au kupata azabu kufuatana na maneno yake.”


Basi tunajua kama maneno yote yanayosemwa na Sheria, yanawaelekea wale wanaolazimishwa kutii Sheria, kusudi mutu yeyote asikuwe na namna ya kujitetea, na dunia nzima ipaswe kuhukumiwa na Mungu.


kwa maana nilikuogopa kwa maana wewe ni mutu mugumu. Unatafutia nafasi usipowekea na kuvuna nafasi usipopanda.’


Kwa nini basi haukuweka feza yangu katika banki, kusudi siku ya kurudia kwangu ningepata mali yangu pamoja na faida yake?’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite