Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 19:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Mutumishi wa pili akakuja akasema: ‘Bwana, furushi moja uliyonipatia imefaidia zingine tano.’

Gade chapit la Kopi




Luka 19:18
7 Referans Kwoze  

Kwa maana kama mutu akiwa na moyo wa kutoa, Mungu anakubali kitu anachotoa kufuatana na kile anachokuwa nacho, wala si kufuatana na kile asichokuwa nacho.


Nao udongo muzuri, walimopanda mbegu, ni mufano wa watu wanaosikia Neno la Mungu na kulipokea. Nao wanazaa matunda; wamoja matunda makumi tatu, wengine makumi sita na wengine mia moja.”


Pahali zile mbegu zilipoanguka katika udongo muzuri ni mufano wa watu wanaosikia Neno la Mungu na kulielewa. Nao wanazaa matunda; wamoja matunda mia moja, wengine makumi sita na wengine makumi tatu.”


Mbele ya kuondoka kwake akawaita watu kumi kati ya watumishi wake, akamupatia kila mumoja furushi moja ya zahabu na kuwaambia: ‘Mufanye nazo uchuuzi mpaka nitakaporudia.’


Naye akamwambia: ‘Ni vizuri wewe mutumishi mwema. Kwa sababu ulikuwa mwaminifu katika jambo dogo, ninakupa utawala juu ya miji kumi.’


Naye akamwambia: ‘Nawe vilevile ninakupa utawala juu ya miji mitano.’


Halafu mutumishi aliyepewa furushi mbili akakuja, akasema: ‘Bwana, umenipatia furushi mbili; na sasa angalia, kuna faida ya zingine mbili.’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite