Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 19:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Mutumishi wa kwanza akakuja, akasema: ‘Bwana, furushi moja uliyonipatia imefaidia zingine kumi.’

Gade chapit la Kopi




Luka 19:16
8 Referans Kwoze  

Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa sawa hivi ninavyokuwa, na neema yake niliyopewa haikukuwa ya bure, lakini nilitumika zaidi sana kuliko mitume wote wengine. Hakika si mimi, lakini ni neema ya Mungu inayokuwa pamoja nami.


Mbele ya kuondoka kwake akawaita watu kumi kati ya watumishi wake, akamupatia kila mumoja furushi moja ya zahabu na kuwaambia: ‘Mufanye nazo uchuuzi mpaka nitakaporudia.’


“Lakini yule mutu mwenye heshima alisimikwa kuwa mufalme, na kurudia kwake. Halafu akaamuru wamwitie wale watumishi aliowapatia zahabu kusudi apate kujua kila mumoja amefaidia ngapi.


Naye akamwambia: ‘Ni vizuri wewe mutumishi mwema. Kwa sababu ulikuwa mwaminifu katika jambo dogo, ninakupa utawala juu ya miji kumi.’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite