Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 19:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 “Lakini yule mutu mwenye heshima alisimikwa kuwa mufalme, na kurudia kwake. Halafu akaamuru wamwitie wale watumishi aliowapatia zahabu kusudi apate kujua kila mumoja amefaidia ngapi.

Gade chapit la Kopi




Luka 19:15
9 Referans Kwoze  

Lakini kwa ngambo ingine, yule asiyejua mapenzi ya bwana yake, na anayefanya mambo yanayostahili azabu, atapigwa fimbo chache. Kwa maana kila mutu aliyepewa vingi, ataombwa kutoa vingi zaidi; na aliyepewa madaraka mengi, ataulizwa mengi zaidi.


“Kulipopita siku nyingi, bwana wa watumishi wale akarudi, akafanya hesabu ya mali yake pamoja nao.


Lakini wanainchi wenzake walimuchukia. Kwa hiyo wakatuma wajumbe kumufuata nyuma waende kusema: ‘Hatutaki mutu huyu kuwa mufalme wetu.’


Mutumishi wa kwanza akakuja, akasema: ‘Bwana, furushi moja uliyonipatia imefaidia zingine kumi.’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite