Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 18:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Halafu Bwana akasema: “Musikilize jinsi mwamuzi huyu mubaya anavyosema!

Gade chapit la Kopi




Luka 18:6
4 Referans Kwoze  

Bwana alipomwona yule mama, akamusikilia huruma na kumwambia: “Usilie.”


Mufanye vile kusudi mupate kuwa kweli watoto wa Baba yenu anayekuwa mbinguni. Kwa maana yeye anawaangazia waovu na wema jua lake, naye anawanyeshea mvua wenye haki na wasiokuwa wenye haki.


na kuwatuma kwa Bwana kumwuliza: “Wewe ndiwe yule aliyepaswa kuja kutuokoa au tumungojee mwingine?”


Jambo hilo halionyeshi kwamba munafanya ubaguzi, na kwamba kwa kuamua vile munaongozwa na mawazo mabaya?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite