Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 18:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 lakini kwa sababu mujane huyu anazidi kuniuzi nitamupatia haki yake, kusudi asiendelee kufika hapa na kunikasirikisha.’ ”

Gade chapit la Kopi




Luka 18:5
9 Referans Kwoze  

Hakika ninawaambia kwamba hataamuka kumupatia mikate kwa sababu yeye ni rafiki yake tu, lakini sababu ya kusihi sana kwa rafiki yake, ataamuka na kumupatia vyote anavyohitaji.


Watu waliotangulia wakamukaripia na kumunyamazisha, lakini alizidi kulalamika, akisema: “Mwana wa Daudi, unisikilie huruma!”


Delila alipoendelea kumusumbua sana Samusoni kwa maneno, siku kwa siku na kumwuzi hata akachoka ndani ya roho karibu kufa,


Lakini Yesu hakumujibu hata neno moja. Halafu wanafunzi wake wakamufikia na kumusihi: “Umwambie aende kwa maana anatuuzi na makelele.”


Vilevile katika muji ule, kulikuwa mujane mumoja aliyekuwa akimwendea yule mwamuzi akimusihi: ‘Unipatie haki yangu juu ya mupinzani wangu.’


Lakini ninatesa mwili wangu kwa mazoezi makali na kuutumikisha vikali kusudi mimi mwenyewe nisikataliwe kisha kutangaza ujumbe kwa watu wengine.


Wakaendelea kunitumia ujumbe uleule mara ine, lakini nikawapa jibu lilelile.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite