41 “Unataka nikufanyie nini?” Akamujibu: “Bwana, ninataka nipate kuona.”
Musijisumbue juu ya neno lolote, lakini katika kila neno mutoe mahitaji yenu kwa Mungu, mukimwomba, mukimusihi na kumushukuru.
Lakini tukitumainia kitu tusichokiona, tunakingojea kwa uvumilivu.
Yesu akasimama, akaamuru wamulete kwake. Yule kipofu alipokaribia, Yesu akamwuliza:
Yesu akamwambia: “Upate kuona! Imani yako imekuponyesha.”