Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 18:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Yesu alipoona kwamba amehuzunika sana, akasema: “Kweli ni vigumu sana kwa watajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu,

Gade chapit la Kopi




Luka 18:24
18 Referans Kwoze  

maana nikipata mali mengi nitakusahau; nikisema: “Yawe ni nani?” Au nikiwa masikini nitaiba, na kuzaraulisha jina lako ee Mungu wangu.


Anayetegemea mali zake ataanguka, lakini mwenye haki atastawi kama jani bichi.


Mwovu anajisifia tamaa zake mbaya, anapata faida kwa njia mbaya, anazarau na kumukataa Yawe.


Mufalme akahuzunika sana, lakini hakumukatalia kwa sababu ya viapo alivyovitoa na kwa sababu ya waalikwa wake.


Nitawaendea wakubwa niongee nao; bila shaka, wao wanajua mapenzi ya Yawe; wanajua sheria ya Mungu wao. Lakini wote ni sawa. Wamevunja nira yao, wamekata minyororo yao.


Enyi watu! Musikilize vile mimi Yawe ninavyosema: Nimekuwa kama vile jangwa au inchi yenye giza kubwa? Kwa nini basi watu wangu wanasema: Sisi tuko watu huru; hatutakurudilia!


Tajiri anazani kwamba mali ni makimbilio yake; anafikiri hayo ni ukuta murefu unaomulinda.


Lakini mutu yule aliposikia maneno yale, akahuzunika sana kwa sababu alikuwa tajiri sana.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite