Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 18:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Unajua jinsi amri zinavyosema kwamba: ‘Usizini, usiue, usiibe, usishuhudie uongo, uwaheshimu baba yako na mama yako.’ ”

Gade chapit la Kopi




Luka 18:20
15 Referans Kwoze  

Kwa hiyo amri hizi: “Usizini, usiue, usiibe, usitamani,” pamoja na zingine zote, zinafungwa katika amri hii moja: “Umupende mwenzako sawa vile unavyojipenda mwenyewe.”


“Heshimu baba yako na mama yako.” Hii ni amri ya kwanza ambayo waliongeza ahadi hii juu yake:


Watoto muwatii wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana jambo hili linamupendeza Bwana.


Kwa sababu hakuna mutu atakayehesabiwa haki mbele ya Mungu kwa kuwa anatii Sheria, maana Sheria inamusaidia mutu tu kwa kutambua kwamba amefanya zambi.


Hakika anayesema hivyo hajapata kuona mwangaza. Lakini ninyi mushike lile agizo na mafundisho ya Mungu.


Yesu akamwuliza: “Sababu gani unaniita mwema? Hakuna mutu anayekuwa mwema isipokuwa Mungu peke yake.


Yule mutu akamujibu: “Nimetii amri zile zote tangu ujana wangu.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite