Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 18:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Watu wamoja walimuletea Yesu hata watoto wadogo kusudi awaguse. Wanafunzi walipoona vile, wakawakaripia watu wale.

Gade chapit la Kopi




Luka 18:15
7 Referans Kwoze  

Alipomwachisha kunyonya alimupeleka pamoja na ngombe dume wa miaka mitatu, gunia la unga na karabia ya divai. Hana alimwingiza mutoto kwenye nyumba ya Yawe kule Shilo, naye mutoto alikuwa mudogo tu.


Wanafunzi wake, Yakobo na Yoane walipoona mambo hayo, wakasema: “Bwana, unataka tuombe moto uwashukie toka mbinguni na kuwateketeza?”


Lakini Yesu akawaita na kusema: “Muwaache watoto wadogo wakuje kwangu, wala musiwakataze, kwa maana Ufalme wa Mungu ni wa watu wanaokuwa sawasawa na wao.


Walipokwisha kuchinja yule ngombe dume, walimupeleka mutoto kwa kuhani Eli.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite