Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 17:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kama akikukosea mara saba kwa siku, na akirudia kwako kila mara kwa kukuomba huruma, umusamehe.”

Gade chapit la Kopi




Luka 17:4
12 Referans Kwoze  

Lakini kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Adui yako akisikia njaa, umupe chakula; kama akisikia kiu, umupe kinywaji. Maana kwa kufanya hivi utamupatisha haya kama vile ungemubebesha makaa ya moto juu ya kichwa.”


Utusamehe makosa yetu, kama sisi tunavyowasamehe wanaotukosea,


Yesu akaongeza kusema: “Ni hivi vilevile Baba yangu anayekuwa mbinguni atakavyowatendea ninyi, kama kila mumoja wenu asipomusamehe ndugu yake kwa moyo wake wote.”


Lakini kama akikataa kukusikia, utwae mutu mumoja au wawili na kumwendea pamoja nao, kusudi kila neno lihakikishwe kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu, sawa vile Maandiko Matakatifu yanavyosema.


Lakini mimi ninawaambia: muwapende waadui zenu na muwaombee wale wanaowatesa.


Mitume wakamwambia Bwana: “Utuongezee imani.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite