34 Ninawaambia ninyi: katika usiku ule, watu wawili watakuwa katika kitanda kimoja; mumoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.
Basi, ni kusema kwamba Bwana anajua namna ya kuwaokoa wenye kumwogopa katika majaribu. Lakini anangojea kuwaazibu watu wabaya kwa Siku ile ya hukumu.
Angalia, nimewaambia haya yote mbele.
“Mufanye nguvu muingie kwa kupitia mulango unaokuwa mwembamba; maana ninawaambia ninyi hakika: watu wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza.
Lakini ninyi mujiangalie vizuri, kwa maana nimewaambia hayo yote mbele.
Wewe unajitakia wewe mwenyewe mambo makubwamakubwa? Usiyatafute! Achana nayo, maana ninaleta maangamizi juu ya wanadamu wote. Pato lako ni hili: nitayaokoa maisha yako kila nafasi utakapokwenda. –Ni ujumbe wa Yawe.
Mambo niliyotabiri yametukia; na sasa ninatangaza mambo mapya, ninakuelezea hayo mbele hayajatukia.
Usiniazibu pamoja na watu wabaya, wale watenda maovu wanaosema vizuri na wenzao, kumbe wanajaa ubaya ndani ya moyo.
Usiniangamize pamoja na wenye zambi, wala usinitupe pamoja na wauaji,
Hakika si vile: lakini musipogeuka toka zambi zenu, ninyi wote mutaangamia kama wao.”
Hakika si vile, lakini musipogeuka toka zambi zenu, ninyi wote mutaangamia kama wao.
Petro akamwambia: “Hata wote wengine wakianguka, mimi sitaanguka.”
Yule atakayelinda uzima wake, ataupoteza; lakini yule atakayetoa uzima wake, ataulinda.
Wanawake wawili watakuwa wakisaga pamoja, mumoja atapelekwa na mwingine ataachwa. [