32 Mukumbuke yale yaliyomutokea muke wa Loti.
Lakini muke wa Loti aliyekuwa nyuma ya Loti, akatazama nyuma, akageuka nguzo ya chumvi.
Walipowatosha inje ya muji, malaika mumoja wao akawaambia: “Mukimbie kwa ajili ya usalama wenu. Musiangalie nyuma wala kusimama popote katika bonde. Mukimbilie kwenye milima, musipate kuangamia.”
Yule atakayelinda uzima wake, ataupoteza; lakini yule atakayetoa uzima wake, ataulinda.