Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 17:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Kisha akawaambia wanafunzi wake: “Kutakuwa siku mutakazotamani kumwona tena Mwana wa Mutu kwa muda tu, lakini hamutapata muda ule.

Gade chapit la Kopi




Luka 17:22
11 Referans Kwoze  

Lakini kutakuwa siku bwana-arusi atakapoondoshwa kati yao. Katika siku zile ndipo watafunga kula.”


Yesu akawajibu: “Munafikiri kwamba warafiki za bwana-arusi wanaweza kufanya kilio wakati bwana-arusi angali pamoja nao? Hapana! Lakini kutakuwa siku bwana-arusi atakapoondoshwa kati yao; ni siku zile watafunga kula.


Watoto wangu, ningali pamoja nanyi kwa muda mufupi tu. Mutanitafuta, lakini sawasawa nilivyowaambia Wayuda, ninawaambia ninyi vilevile kwamba hamuwezi kufika pahali ninapokwenda.


Lakini kutakuwa siku bwana-arusi atakapoondoshwa kati yao; ni katika siku zile ndipo watafunga kula.


Yesu akawaambia: “Mwangaza ungali kati yenu kwa muda kidogo. Mutembee wakati mungali na mwangaza, kusudi giza lisiwafunike, kwa sababu anayetembea katika giza hajui pahali anapokwenda.


Makao yenu yataachwa ukiwa. Lakini ninawaambia: tangia sasa hamutaniona tena mpaka mutakaposema: ‘Abarikiwe huyu anayekuja kwa jina la Bwana.’ ”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite