Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 17:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Hawatasema: ‘Anatawala hapa’ au ‘Anatawala huku.’ Hakika Mungu anatawala kati yenu.”

Gade chapit la Kopi




Luka 17:21
10 Referans Kwoze  

Kwa ngambo yangu ninafukuza pepo kwa uwezo wa Roho wa Mungu. Hii inaonyesha kwamba Ufalme wa Mungu umekwisha kufika kati yenu.


Kwa maana kazi ya Ufalme wa Mungu si kushugulika na mambo ya kula na kunywa, lakini ni kushugulika na haki, amani na furaha vinavyotolewa na Roho Mutakatifu.


“Kwa hiyo mutu akiwaambia: ‘Kristo yuko hapa!’ au ‘Yuko kule!’ musimusadiki.


Kwa maana Mungu alitaka kuwafunulia watu hao siri ya mupango wake wenye utajiri mukubwa alioufanya kwa ajili ya mataifa yote. Nayo siri ile ni kwamba Kristo ni ndani yenu, naye ndiye anayetuletea tumaini kwamba tutashiriki katika utukufu wa Mungu.


Yesu akawajibu: “Muangalie vizuri, musidanganywe. Watu wengi watakuja wakijiita kwa jina langu, wakisema kwamba wao ndio Kristo, nao wakati umetimia. Ingawa vile, musiwafuate.


Watu watawaambia: ‘Yuko kule!’ au ‘Yuko hapa!’ Lakini musiondoke kwa kuwafuata kule.


Yoane akawajibu: “Mimi ninabatiza kwa maji, lakini kati yenu kuna mutu ninyi musiyemujua,


Yesu akajibu: “Ufalme wangu si wa dunia hii. Ufalme wangu ungekuwa wa dunia hii, watumishi wangu wangenipigania kusudi nisitolewe kwa Wayuda. Lakini sasa ufalme wangu si wa hapa katika dunia.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite