Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 17:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Hakuna mwingine kati yao aliyerudia kwa kumutolea Mungu shukrani, isipokuwa huyu mugeni tu?”

Gade chapit la Kopi




Luka 17:18
12 Referans Kwoze  

Anayenitolea shukrani kama sadaka yake, huyo ndiye anayenitukuza; yeyote anayedumu katika njia yangu, huyo ndiye nitakayemwokoa.”


Lakini bila kukawia walisahau matendo yake, wakaacha kutegemea shauri lake.


Halafu akasema kwa sauti kubwa: “Mumuheshimu Mungu na kumutukuza, kwa sababu saa yake ya kuwahukumu watu imetimia. Mumwabudu yule aliyeumba mbingu na dunia, bahari na chemichemi za maji.”


Wote wanaokaa katika inchi za mbali, wamutukuze na kumusifu Yawe.


Yesu akaongeza kusema: “Ni hivi inavyokuwa vilevile: wanaokuwa wa mwisho watakuwa wa kwanza, nao wanaokuwa wa kwanza watakuwa wa mwisho.”


Lakini wengi wanaokuwa wa kwanza watakuwa wa mwisho, na wengi wanaokuwa wa mwisho watakuwa wa kwanza.


Lakini wale waliopaswa kushiriki katika Ufalme ule watatupwa inje kwenye giza, na kule watalia na kusaga meno.”


Yesu aliposikia maneno haya, akashangaa na kuwaambia watu waliomufuata: “Kweli ninawaambia: katika inchi yote ya Israeli, sijaona bado mutu anayekuwa na imani kubwa kama huyu.


Watu walipoona jambo hilo wakaogopa na kumusifu Mungu aliyewapa watu mamlaka ya namna ile.


Halafu Yesu akauliza: “Watu walioponyeshwa hawakukuwa kumi? Wale wengine tisa wako wapi?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite