Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 17:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 wakilalamika, wakisema: “Yesu Bwana utusikilie huruma!”

Gade chapit la Kopi




Luka 17:13
7 Referans Kwoze  

Mwanamuke mumoja Mukanana aliyeishi katika pande zile akamufikia, akilalamika, akisema: “Ee Bwana, mwana wa Daudi, unihurumie! Binti yangu anateswa sana na pepo.”


Yesu akaondoka toka pale, naye alipokuwa katika njia, vipofu wawili wakamufuata wakilalamika, wakisema: “Utuhurumie, Ee Mwana wa Daudi!”


Na mara nyingi huyu pepo anamutupa katika moto na ndani ya maji, kusudi amwue. Lakini kama unaweza kufanya kitu, utuhurumie na kutusaidia.”


Simoni akajibu: “Mwalimu, tumetumika usiku kucha bila kupata kitu. Lakini kwa sababu umeniambia, nitashusha nyavu.”


Yesu alipowaona, akawaambia: “Mwende kwa makuhani kusudi wapate kuwachunguza.” Nao walipokuwa katika njia kwenda kule, wakaponyeshwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite