Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 17:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Na ni hivi inavyokuwa kwenu vilevile. Wakati mutakapokwisha kufanya yote muliyoamuriwa, museme: ‘Sisi ni watumishi tu, tumetimiza tu mapaswa yetu.’ ”

Gade chapit la Kopi




Luka 17:10
20 Referans Kwoze  

Ni nani anayeweza kumupa Mungu kitu kwanza, kusudi naye apate kumurudishia?”


Hakuna hata mumoja anayekuja kukuomba; hakuna anayejishugulisha kukutafuta. Wewe unauficha uso wako mbali nasi, umetuacha tufungwe na maovu yetu.


Wote wamepotea, wote kwa jumla wamepotoka. Hakuna mwenye kufanya mema, hata mumoja.


Na zaidi ya hii, mumutupe huyu mutumishi asiyekuwa na mafaa inje kwenye giza. Kule atalia na kusaga meno.’


Basi, mimi nikasema: Ole kwangu! Mimi nimeangamia, maana, midomo yangu ni michafu, na watu ninaoishi nao ni wenye midomo michafu. Hata hivyo, kwa macho yangu mwenyewe, nimemwona Mufalme, Yawe wa majeshi.


Zamani yeye hakukufalia kitu, lakini sasa atakufalia wewe na mimi vilevile.


Basi bwana wa yule mutumishi atamushukuru kwa sababu amefanya sawa vile alivyoamuriwa? Hapana.


Yesu alipokuwa katika safari kwenda Yerusalema, akapita katika jimbo la Samaria na la Galilaya.


Nao walifika, wakaitwaa na kuirizi. Lakini wao hawakukusikiliza, wala hawakufuata sheria zako. Hawakutenda mambo uliyoamuru. Ndiyo maana utawafanya wapatwe na hasara hii.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite