Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 16:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 “Kila mutu anayemufukuza muke wake na kuoa mwingine, anazini; na mutu anayemwoa yule muke aliyefukuzwa anazini vilevile.

Gade chapit la Kopi




Luka 16:18
6 Referans Kwoze  

Na sasa mimi ninawaambia: kila mutu anayeachana na muke wake, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi tu, na kumwoa muke mwingine, anazini.”


Muke hawezi kuamua sawa anavyotaka juu ya mwili wake mwenyewe; kwa sababu ni mwili wa mume wake. Vilevile mume hawezi kuamua sawa anavyotaka juu ya mwili wake mwenyewe; kwa sababu ni mwili wa muke wake.


“Kulikuwa mutu mumoja tajiri aliyezoea kuvaa nguo zenye kuwa laini sana za bei kali zaidi na aliyeishi katika raha siku zote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite