Luka 16:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200215 Yesu akawaambia: “Ninyi ni watu wanaojionyesha kuwa wenye haki mbele ya watu, lakini Mungu anajua yanayokuwa ndani ya mioyo yenu. Kwa maana mambo yanayosifiwa na watu ni machukizo mbele ya Mungu. Gade chapit la |