Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 14:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Naye anapokuja, yule aliyewaalika ninyi wawili, ataweza kuja kukuambia: ‘Umwachie mutu huyu kiti.’ Halafu utapatwa na haya kwenda kuikaa kwenye viti vya nyuma.

Gade chapit la Kopi




Luka 14:9
8 Referans Kwoze  

Kiburi kinatangulia maangamizi; majivuno yanatangulia maanguko.


Kiburi kinazaa haya, lakini kwa watu wanyenyekevu kuna hekima.


Wenye hekima watavuna heshima, lakini wapumbafu watapata haya.


Basi muonyeshe kwa njia ya matendo kwamba mumegeuka toka zambi zenu. Musianze tu kujisemesha kwamba Abrahamu ndiye babu yenu. Ninawaambia kwamba Mungu anaweza kugeuza mawe haya kuwa watoto wa Abrahamu!


Yesu aliposema vile, wapinzani wake wote wakafezeheka, lakini kundi lote la watu wote walifurahia matendo yote ya ajabu aliyoyatenda.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite