Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 14:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Siku moja makundi mengi ya watu walikuwa wakimufuata Yesu nyuma. Yeye akageuka na kuwaambia:

Gade chapit la Kopi




Luka 14:25
4 Referans Kwoze  

Wakati ule ule makundi mengi ya maelfu ya watu walikusanyika hata wakakanyaganakanyagana. Yesu akaanza kwanza kusema na wanafunzi wake, akiwaambia: “Mufanye angalisho na chachu ya Wafarisayo, maana yake unafiki wao.


Kwa maana ninawaambia kwamba kati ya wale niliokuwa nimewaalika, hakuna hata mumoja wao atakayeonja vyakula vya karamu yangu.’ ”


“Mutu anayenifuata, atakuwa kweli mwanafunzi wangu kama akinipendelea mimi kuliko baba na mama yake, muke na watoto wake, wakaka na wadada zake. Na zaidi ya hii hapaswi kujipendelea yeye mwenyewe vilevile.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite