Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 14:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Kwa maana ninawaambia kwamba kati ya wale niliokuwa nimewaalika, hakuna hata mumoja wao atakayeonja vyakula vya karamu yangu.’ ”

Gade chapit la Kopi




Luka 14:24
12 Referans Kwoze  

Kwa sababu hii ninawaambia: Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa kwa watu watakaotoa matunda yanayostahili ufalme ule. [


Halafu Paulo na Barnaba wakawaambia bila woga: “Ilitupasa kwanza kuhubiri Neno la Mungu kwenu. Lakini kwa kuona mumelikataa na kujihesabu ninyi wenyewe kwamba uzima wa milele haufai kwenu, basi tunashugulika na watu wa mataifa mengine.


Anayemwamini Mwana yuko na uzima wa milele. Anayekataa kumwamini Mwana hatapata uzima; atakaa akipatwa na kasirani ya Mungu.”


Kisha akawaambia watumishi wake: ‘Karamu ya ndoa iko tayari, lakini si wale walioalikwa ndio waliostahili kuikula.


Ni kwa sababu hii niliwaambia ninyi kama mutakufa katika zambi zenu. Musipoamini kwamba ‘Mimi Ndimi’, hakika mutakufa katika zambi zenu.”


Hukumu inatokana na hivi: mwangaza umekuja katika ulimwengu, lakini watu wanapenda giza kuliko mwangaza, kwa sababu matendo yao ni mabaya.


Yesu akawaambia watu tena: “Mimi ninajiendea, nanyi mutanitafuta, lakini mutakufa katika zambi zenu. Na zaidi ya hii hamuwezi kufika pahali ninapokwenda.”


Halafu bwana wake akamwambia: ‘Kwenda katika njia kwenye vijiji na pembeni ya mashamba, uwalazimishe watu wafike kuingia, kusudi nyumba yangu ipate kujaa.


Siku moja makundi mengi ya watu walikuwa wakimufuata Yesu nyuma. Yeye akageuka na kuwaambia:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite