Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 14:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Lakini wao wote moja kwa moja wakaanza kutoa sababu zao za kutokufika. Wa kwanza akamwambia yule mutumishi: ‘Nimenunua shamba, nami ninapaswa kwenda kuliangalia. Tafazali, unisamehe.’

Gade chapit la Kopi




Luka 14:18
24 Referans Kwoze  

Yesu alipoona kwamba amehuzunika sana, akasema: “Kweli ni vigumu sana kwa watajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu,


Watafunga masikio yao wasisikilize mambo ya kweli na kusikiliza hadisi za uongo.


lakini ninyi hamutaki kuja kwangu mupate uzima.


Alikuja katika inchi yake, lakini taifa lake halikumupokea.


Na mbegu zilizoanguka katika miiba ni mufano wa wale wanaosikia, lakini masumbuko, utajiri na raha ya dunia vinawasonga hata wanashindwa kutoa matunda yanayokomaa.


Vilevile muangalie vizuri, kusudi hata mutu mumoja asikuwe mwasherati au mwenye kukufuru Mungu kama vile Esau aliyeuzisha haki yake ya muzaliwa wa kwanza kwa ajili ya chakula kidogo tu.


Dema amependelea mambo ya dunia hii akaniacha na kwenda Tesalonika. Kreske akaenda Galatia, na Tito akaenda Dalmatia.


Nitaongea na nani nipate kumwonya, kusudi wapate kunisikia? Angalia, masikio yao yameziba, hawawezi kusikia ujumbe wako. Maneno ya Yawe, yamegeuka kwao jambo la kuchekelea. Hawalifurahii hata kidogo.


Saa ya karamu ilipotimia akamutuma mutumishi wake kwenda kuwaambia walioalikwa kwamba wafike kwa maana vitu vyote viko tayari.


Mwingine akamwambia: ‘Nimenunua ngombe kwa ajili ya kazi ya kulima, nami ninakwenda kuwapima. Tafazali, unisamehe.’


Lakini mimi vilevile niko na haki ya kuweka tumaini katika mambo ya kimwili. Kama kuna mutu anayejizania kuwa na sababu ya kutumainia mambo ya kimwili, mimi ninamupita.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite