Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 14:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Lakini wakati unapoalikwa, kwenda kuikaa kwenye viti vya nyuma, kusudi wakati yule aliyekualika atakapokuja, akuambie: ‘Rafiki, jongea huku mbele zaidi.’ Na halafu utaheshimiwa mbele ya wote unaoikaa pamoja nao kwa kula.

Gade chapit la Kopi




Luka 14:10
5 Referans Kwoze  

Kumwogopa Yawe ni mafundisho ya hekima; mbele ya kuheshimika inafaa kuwa munyenyekevu.


Samweli akamwambia: “Ingawa unajiona kwamba wewe ni mudogo, lakini si wewe kiongozi wa makabila ya Israeli? Yawe alikupakaa mafuta kwa kukusimika kuwa mufalme juu ya Israeli.


Angalia, nitakupa watu wa kikundi chenye kuabudu Shetani, ndio wale wasema uongo wanaojidai kwamba wao ni Wayuda, lakini ni wadanganyifu. Hakika nitawalazimisha kupiga magoti mbele yako, nao watajua ya kuwa mimi ninakupenda.


Wazao wa wale waliokutesa, watakuja na kuinama uso mpaka chini mbele yako. Wote wale waliokuzarau, watapiga magoti kwenye miguu yako. Watakuita: “Muji wa Yawe”, “Sayuni”, “Muji wa Mutakatifu wa Israeli”.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite