Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 13:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Lakini atawaambia tena: ‘Sijui munatokea wapi. Mutoke karibu nami, ninyi wote watenda maovu!’

Gade chapit la Kopi




Luka 13:27
15 Referans Kwoze  

“Kisha mufalme atawaambia wale wanaokuwa kwa upande wake wa kushoto: ‘Muondoke hapa karibu nami, ninyi muliolaaniwa! Muende katika moto usiozimika hata milele, uliotayarishwa kwa ajili ya Shetani na wamalaika wake!


Macho yangu yamechoka kwa huzuni; yamefifia kwa kutaabishwa na waadui.


Muondoke kwangu, enyi waovu, kusudi nipate kushika amri za Mungu wangu.


“Mwenye nyumba atakapokwisha kusimama na kufunga mulango, ninyi mutabaki inje na kuanza kupiga hodi na kusema: ‘Bwana, utufungulie.’ Naye atawajibu: ‘Sijui munatokea wapi.’


Maana Yawe anashugulikia njia ya watu wa haki; lakini njia ya waovu itaangamia.


Lakini musingi uliojengwa na Mungu, unasimama imara. Nayo maneno haya yamechapwa juu ya musingi ule “Bwana anajua wale wanaokuwa wake,” na haya mengine: “Kila mutu anayesema kwamba yeye ni wa Bwana anapaswa kujitenga na maovu.”


Hata kama wakilea watoto, sitamwacha hata mumoja wao muzima. Ole kwao, nitakapowaacha peke yao!


Lakini wanaogeuka na kufuata njia zao mbaya, uwatoweshe pamoja na watenda maovu. Amani ikuwe na Israeli!


Siku kwa siku nitawaangamiza waovu wote katika inchi; nitawaangamiza wabaya wote katika muji wa Yawe.


Usiniazibu pamoja na watu wabaya, wale watenda maovu wanaosema vizuri na wenzao, kumbe wanajaa ubaya ndani ya moyo.


Wewe haupendi kuwaona wenye majivuno; wewe unawachukia wote wanaotenda maovu.


Lakini sasa munamujua Mungu, au afazali tuseme kwamba sasa munajulikana naye. Basi namna gani mumerudilia tena vitu vinavyotawala dunia, visivyokuwa na uwezo na vikosefu, mukitaka kuwa watumwa tena?


Lakini yule anayemupenda Mungu, huyu anajulikana naye.


Lakini bwana akajibu: ‘Kweli ninawaambia: mimi siwajui ninyi.’ ”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite