Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 13:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Mutu mumoja akamwuliza: “Bwana, ni watu wachache tu ndio watakaookolewa?” Halafu Yesu akawaambia:

Gade chapit la Kopi




Luka 13:23
12 Referans Kwoze  

Lakini njia inayoongoza kufikia kwenye uzima ni yenye kusongamana na mulango unaoiingilia ni mwembamba, nao watu wanaoifuata ni wachache tu.


Kisha, Yesu akasema: “Watu wanaoitwa ni wengi, lakini wale wanaochaguliwa ni wachache.”


Yesu akaongeza kusema: “Ni hivi inavyokuwa vilevile: wanaokuwa wa mwisho watakuwa wa kwanza, nao wanaokuwa wa kwanza watakuwa wa mwisho.”


Wanafunzi waliposikia maneno haya, wakashangaa sana na kuuliza: “Ni nani basi anayeweza kuokolewa?”


Yesu alipokuwa katika safari kwenda Yerusalema, alipita katika miji na vijiji akifundisha.


“Mufanye nguvu muingie kwa kupitia mulango unaokuwa mwembamba; maana ninawaambia ninyi hakika: watu wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite