18 Yesu akasema tena: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?
Hawatasema: ‘Anatawala hapa’ au ‘Anatawala huku.’ Hakika Mungu anatawala kati yenu.”
Yesu akasema tena: “Nitafananisha Ufalme wa Mungu na nini?
Yesu akaendelea kusema: “Ufalme wa Mungu unafanana na mutu mumoja aliyepanda mbegu katika shamba lake.
Yesu akawaambia mufano mwingine, akisema: “Ufalme wa mbinguni unafanana na mutu mumoja aliyepanda mbegu nzuri ya ngano katika shamba lake.
“Basi nitawafananisha watu wa kizazi hiki na nini? Wao ni watu wa namna gani?
Nikuambie nini, ee Yerusalema? Nikulinganishe na nini? Nikufananishe na kitu gani kusudi niweze kukufariji, ee Sayuni uliyekuwa muzuri? Maangamizi yako ni mengi kama bahari, ni nani atakayekuponyesha?