Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 13:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Na mule ndani mulikuwa mwanamuke mumoja mugonjwa, aliyeshikwa na pepo kwa muda wa miaka kumi na minane. Mugongo wake ulikuwa umekunjama na hakuweza kuinuka hata kidogo.

Gade chapit la Kopi




Luka 13:11
20 Referans Kwoze  

pamoja na wanawake wamoja ambao alikuwa ameondosha pepo ndani yao na magonjwa mengine. Kati ya wale wanawake kulikuwa Maria (aliyeitwa wa Magdala), aliyekuwa ameponyeshwa pepo saba;


Sasa, mwanamuke huyu anayekuwa wa uzao wa Abrahamu, ambaye alifungwa na Shetani kwa muda wa miaka kumi na minane, haikumupasa afunguliwe katika kifungo hiki ingawa ni siku ya Sabato?”


Yesu alipotoka ndani ya chombo, akakutana na mutu mumoja kule katika muji aliyeshikwa na pepo. Mutu yule hakuvaa nguo tangu siku nyingi, wala hakuishi ndani ya nyumba, lakini aliishi kwenye makaburi.


Ee Yawe, usiniazibu kwa hasira yako, usiniadibishe kwa kasirani yako.


Naye yule mutu aliyeponyeshwa kwa njia ya kitambulisho hiki, alikuwa na umri wa miaka zaidi ya makumi ine.


Kati yao kulikuwa mwanamuke mumoja mwenye ugonjwa wa kutokwa na damu kwa muda wa miaka kumi na miwili. Alikuwa ametumia mali yake yote kwa kulipa waganga, lakini hakuna hata mumoja wao ambaye aliweza kumuponyesha.


Yesu akamwuliza baba ya mutoto: “Amekuwa na hali hii tangu wakati gani?” Baba yake akamujibu: “Ni tangu utoto wake.


anawafungua vipofu macho. Yawe anawainua waliogandamizwa; anawapenda watu wa haki.


Karibu na mulango mumoja wa hekalu unaoitwa “Muzuri,” kulikuwa mutu mumoja aliyekuwa kiwete tangia kuzaliwa kwake. Kila siku walimubeba na kumuweka kwenye mulango huo kusudi aombe musaada kwa watu waliokuwa wakiingia katika hekalu.


Katika huzuni yangu, ninakumbuka jinsi nilivyokwenda na kundi la watu na kuwaongoza kwenda katika nyumba ya Mungu wakipiga vigelegele vya shukrani, kundi la watu likifanya sherehe!


Vidonda vyangu vimeoza na kunuka, na hayo ni matokeo ya ujinga wangu.


Kwa hiyo Shetani akaondoka mbele ya Yawe, akamutesa Yobu kwa vidonda vikali tangia kwenye miguu yake mpaka kwenye kichwa chake.


Yawe anawashikilia wote wanaoanguka; anawainua wote waliogandamizwa.


Yesu alizunguka katika Galilaya yote akifundisha katika nyumba zao za kuabudia, akihubiri Habari Njema ya Ufalme. Aliponyesha watu waliokuwa na magonjwa yote na uzaifu wa kila namna.


Yesu alipomwona yule mwanamuke, akamwita, akamwambia: “Ewe mama, ugonjwa wako umepona.”


Mambo hayo yatakapoanza kutokea, muinue kichwa na kusimama na nguvu, kwa sababu wakati wa kukombolewa kwenu umekaribia.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite